Kumekuwa na matangazo mengi ya kukaribishana kanisani, vipeperushi, kwenye radio, TV na mabango ya barabarani! Kwamba njoo kanisa fulani yupo Mungu, Njoo sehemu fulani kuna muujiza wako nk nk. Je makanisa yanahitaji kujitangaza hivi?
Manny Pacquiao atumia Biblia kumkemea Obama
Baada ya Obama kuunga mkono ndoa ya jinsia moja mapema wiki hii, Pacquiao ameelezea kwamba Raisi amekosea. Aliyasema hayo kwenye moja ya mahojiano yake akielezea Jamii inahitaji kumweka Mungu wa kwanza. Manny Pacquiao aliyeacha kucheza ndondi, alinukuu kitabu cha Mambo ya Walawi 20:13 “Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, … Continue reading
Ugandans turn to witchcraft to keep jobs
Former National Forestry Authority boss Hudson Andrua checks suspected fetishes found in the office of one of the directors in 2010 By Francis Kagolo As unemployment continues to bite, more literate Ugandans are turning to witchcraft to get and secure their jobs, a New Vision survey has revealed. The survey shows that more people in … Continue reading
Askofu aandika kitabu, Mungu siyo Mkristo!
Askofu maarufu wa kanisa la kipentekoste Carlton Pearson alitoa kitabu chenye kichwa cha habari. GOD IS NOT A CHRISTIAN, NOR A JEW, MUSLIM, HINDU….God Dwells with Us, in Us, Around Us, as Us Kwa maelezo yake ndani ya kitabu kwamba Yesu alisema, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwanjia ya mimi.Yohana 14:6 Kwa kauli hiyo … Continue reading
NAFASI 200 ZA KAZI KWA VIJANA
Shalom Broz Productions ikishirikiana na Makampuni matatu ya Energy Master, Age Parfect na Challenger yanakuletea nafasi za kazi kwa vijana wasio na ajira au wanaotaka ajira za ziada (Part time job). Semina ya mafunzo ya kazi hii itatolewa Pale Alharamain Sekondari Kariakoo. inatazamana na Benjamen Mkapa Sekondari na Shule ya Uhuru. Saa mbili asubuhi siku … Continue reading
Christian Leaders Not Surprised by Obama’s Support of Same-Sex Marriage!
President Barack Obama’s comments today that he approves of same-sex marriage have created a great stir among Christian leaders in the country, with some welcoming it as a good political move for them. Tony Perkins, president of Family Research Council, said in a statement that the president’s remarks were not surprising and that they create a … Continue reading
Utata kuhusu Mafuta ya Upako!
Bwana Yesu Asifiwe, samahani naombeni mnisaidie kuhusu mafuta ya upako. Sijajua kama mimi ni mchanga kiroho au vipi? nashindwa kuelewa kuna wachungaji wanayaombea hayo mafuta halafu wanayagawa na wengine wanayauza sh 10,000 yanakuwa kwenye kichupa kidogo sana. Wanasema kama umepata strock unajipaka na unapona na wengine wanasema kama unaumwa pia unatumia na unapona na wengine … Continue reading
Wachungaji na Mitindo ya Mavazi
Tulishawahi kujadili hapa http://strictlygospel.wordpress.com/2009/12/04/mchungaji-wa-kanisa-na-miradi/ kuhusu wachungaji wanaojihusisha na biashara tofauti na kazi waliyoitiwa. Hivi karibuni Mchungaji maarufu Ed Young amefungua label yake ya kuonesha ubunifu wa mavazi yake, kuhusu uchaguzi wa mashati ya kuvaa na jinsi ya kutengeneza kola. Pastor amepania kuona watu wanakuwa smart. Mchungaji huyo amesema alipokuwa akizindua mtandao wake wa PastorFashion.com kwamba ni mahali wachungaji … Continue reading
Pastor Charles Jenkins – AWESOME
Verse 1: My God is Awesome/He can move mountains/Keep me in the valley/Hide me from the rain My God is Awesome/Heals me when I’m broken/Strength where I’ve been weakened/ Forever He will reign…(repeat verse 1 again) Hook: My God Is Awesome/Awesome, Awesome, Awesome My God is Awesome/Awesome, Awesome, Awesome Verse 2: My God is Awesome/Savior … Continue reading
Mungu ni mwenye Rehema
Mch Piason Ndala wa Huduma ya Maombezi ya Matatizo Sugu na Ushauri wa Kibiblia (BCIC), Tawi la Temeke lililopo Mbagala Maji Meupe amewaambia waumini wa Huduma hiyo kuwa, “unaweza kuwa na sura nzuri kama malaika, kama huna rehema na kweli mbele za Mungu na wanadamu, wewe ni sawa na sifuri” Mchungaji huyo ameyasema hayo jana … Continue reading
Patient Hen
It may seem that God’s promise is too big for you to receive. The hen cannot see any change in the egg from day to day, yet she patiently and steadfastly sits on the egg. Then one day, suddenly, the egg cracks, and she receives the fulfillment of the promise. –Mike
Fahamu maswali muislamu anayoweza kukuuliza
Una ujasiri wa kuongea na muislamu? usiogope uwe msomaji wa Neno la Mungu. Wiki iliyopita nilikuwa Mombasa ambapo nilipata nafasi ya kufanya mjadala na Imam. Nimeona ni vyema niwashirikishe maswali ambayo wanatumia kama silaha kwa mkristo asiyekuwa na majibu. 1. Kwa mujibu wa mafundisho ya uislamu ni wazi kwamba watapata wake 72 wakienda peponi, alipokuwa … Continue reading
Nigerian Churches at Risk of Attack Tighten Security
Photo: AP Security in front of the Good News Church in Kaduna, Nigeria, May 3, 2012. Throughout northern Nigeria, Christian churches are ramping up security as a militant Islamist sect, Boko Haram, targets places of worship. At a church in the northern city of Kaduna, Christians are refusing to let the near-constant threat of attack … Continue reading
Mstari Unaoniliza Kuliko Yote Katika Biblia – XVIII
Somo letu linaendelea. Katika mstari ule wa Luka 13:22 Biblia inaeleza kuhusu mtu mmoja aliyemuuliza Bwana Yesu kuhusu wingi wa watu wanaookolewa. Bwana Yesu akijibu swali hilo alisema kuwa JITAHIDINI KUINGIA KATIKA MLANGO ULIO MWEMBAMBA, KWA MAANA NAKWAMBIA KUWA WENGI WATATAKA KUINGIA LAKINI WASIWEZE. Pamoja na sababu nyingi ambazo nimekwisha kuzieleza katika masomo yaliyotangulia, … Continue reading
Tumuombe Mungu atupe Raisi anayetufaa watanzania!
Kusema ukweli kuhusu uraisi wa 2015 ni kigugumizi ambacho hata mimi kimenichanganya akili nashindwa kuwaelewa watanzania! Wengine wanasema Mcha Mungu ndiye atakuwa raisi wa nchi ya Tz mwaka 2015 na tunaona Lowasa saizi kampokea Mungu kuwa ndiye mkombozi wa maisha yake na kutoa misaada kanisani, Vipi kuhusu tuhuma za ufisadi wake na wengine wanaotajwa? Fedha … Continue reading
A Baby Boy Raised from the Dead
Dan Wooding (April 26, 2012) “I felt God speaking to me saying: ‘He has the right to live’. So, immediately, I put my hand over him, and started to pray…” (Montevideo, Uruguay)—Dr. Marta Martínez is a respected doctor from Montevideo, Uruguay, who believes that God still heals the sick today. And she should know, for in … Continue reading
Nani ni mume wangu?
Naomba maombi kwa ajili ya ufunuo juu ya nani ni Mume wangu, niliolewa na kijana mmoja wakati huo mimi nilikua nimezaa na mtu mwingine miaka ya nyuma. Nimeishi na huyu kijana sasa ni mwaka wa 8 sijabahatika kupata mtoto naye, akaamua kuzaa na mtu mwingine ila bado anaishi na mimi, sasa tatizo linakuja kuwa mimi … Continue reading
MKESHA WA KUSIFU NA KUABUDU KESHO MAY 4, 2012, KIINGILIO NI BURE
Wachungaji wa Kanisa la Dar es Salaam Pentekoste (DPC) la jiji Dar es Salaam (kutoka kushoto) Abel Orgenes na Paul Safari wakiwa na muimbaji wa nyimbo za injili John Lisu wakioongea na waandishi wa habari juu ya mkesha mkubwa wa uimbaji wa kusifu na kuabudu pamoja na maombi kwa ajili ya Tanzania na Bara la Afrika ujulikanao … Continue reading
KKKT-DMP KIJITONYAMA WAZINDUA JENGO LA KITEGA UCHUMI
Hilo ndilo jengo lililozinduliwa,Wanaoonekana kwenye picha ni wadau mbalimbali waliojihusisha katika kazi mbalimbali za kuhakikisha ujenzi hata uzinduzi unakwenda kama ulivyopangwa Askofu mkuu wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania ambaye pia ni askofu wa dayosisi ya mashariki na pwani Dkt.Alex Gehaz Malasusa, jumapili iliyopita aliwaongoza mamia ya waumini wa kanisa hilo usharika wa Kijitonyama … Continue reading
Sijawahi kuona imani kubwa kama hii!
Muimbaji maarufu Lady Gaga amewasilia Korea kusini Ijumaa iliyopita kuitangaza album yake, hapo kabla jumla ya waumini 300 wa Kanisa la kipentekoste walikutanika na kuomba Mungu kupiga onesho hilo. Kiongozi wa kundi hilo Kang Ju-hyun alisema “Tunaenda kuomba kwa Mungu hilo tamasha lisifanyike ili ngono na ushoga visienee katika nchi” Alisema Ijumaa ya tarehe 27 … Continue reading
Muimbaji wa nyimbo za Injili kuimba nyimbo za mapenzi?
Marvin Sapp ni muimbaji wa Injili anayependwa na kutokana na nyimbo zake zenye kumsifu Mungu album yake ya mwisho kufanya I WIN imemfanya awe na mafanikio na kuinuliwa zaidi. Lakini kwa sasa anaongea na vyombo vya habari kusema anataka kutoa nyimbo za mapenzi kuanzia. Hivi hii imekaaje? nyimbo za mapenzi zina shida gani zikiimbwa na waimbaji … Continue reading
Lugha yako ya maombi ni ipi?
Maombi ya muhitaji yananoga. Wakati wa shida hata wasiofuatilia Mungu watamkumkubuka na kuita jina lake. Kuna lugha nyingi kwenye maombi, mfano wengine wanaimba, wengine husikiliza muziki wa kuabudu, wengine hunena kwa lugha, wengine wanaenda sehemu iliyotulia nje kwenye fukwe za bahari, vijito, milima ili tu waweze kuongea na Mungu hiyo yote ni jinsi ya kuingia, … Continue reading
Masturbation is not a sin – Pastor Chris Oyakhilome
As many Nigerians had predicted, Nigerian Pastors have begun lambasting Pastor Chris Oyakhilome of Christ Embassy over his comment that masturbation is not a sin against God but a mere habit that God is not angry about. Since the controversial Chris Oyakhilome recently made the comments on masturbation, angry reactions have been pouring in from … Continue reading